Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Nilinunua USB Flash Disk ya GB 8 mwezi uliopita, nimekuwa naitumia kuwekea file za muhimu sana. Leo nimejaribu kuifungua nifanyie kazi mafaili yangu, imeshindwa kufunguka automatically, nimejaribu kutumia njia ya My Computer inaniletea kibox kimeandikwa "Please insert a disk into drive H" kwenye properties inaonyesha capacity "0 bytes".
Nimechanganyikiwa, je wataalamu mnaweza kunisaidiaje kurecover mafile yangu?
Nimechanganyikiwa, je wataalamu mnaweza kunisaidiaje kurecover mafile yangu?