massimu jr
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 542
- 595
Mmh. Mi naona huyo mama ana lake jambo kwa kweli sababu wanaume wanavyohangaika na kazi ya kutafuta pesa mchana kutwa halafu akirudi tena umshughulishe kupita kiasi tena kila siku pasi kupumzika. Hiyo inakuwa zaidi ya adhabu.
Mungu anamuona huyo mama kwa kweli. Kwani huruma inahitajika pia.