Tangopori
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,629
- 1,282
Wakuu kuna mdogo wangu aliniomba nimsaidie kuapply chuo education ya science nikamsaidia,
Juzi nikafungua nikakuta hajachaguliwa first round so nikatakiwa kufanya second round application, cha ajabu katika kufanya second round application nimekutana na zilezile kozi nilizoapply 1st round kwenye vyuo vile vile.
Niliapply
-Bsc. With education DUCE nimeikuta tena second round(maanaake haikujaa first round)
Bsc. With education UDOM nayo vilevile nimeikuta hii second round.
Vigezo anavyo maana points anazo 4.5 na amesoma CBG
Sasa najiuliza hawa watu wana maana gani?
Natafakari kuwaibukia kesho kwenye ofisi zao nikiwa na ile list ya first round maana niliiprint ili wanipe sababu zinazoeleweka nisije nikaziapply tena nikaumia!
Juzi nikafungua nikakuta hajachaguliwa first round so nikatakiwa kufanya second round application, cha ajabu katika kufanya second round application nimekutana na zilezile kozi nilizoapply 1st round kwenye vyuo vile vile.
Niliapply
-Bsc. With education DUCE nimeikuta tena second round(maanaake haikujaa first round)
Bsc. With education UDOM nayo vilevile nimeikuta hii second round.
Vigezo anavyo maana points anazo 4.5 na amesoma CBG
Sasa najiuliza hawa watu wana maana gani?
Natafakari kuwaibukia kesho kwenye ofisi zao nikiwa na ile list ya first round maana niliiprint ili wanipe sababu zinazoeleweka nisije nikaziapply tena nikaumia!