Bro umeajiriwa na serikali co huyo mama wewe fanya kazi. Nahadi amegundua una mtu na mmefika that far safi sana. Just ignore her,au umemiss anavyokushikashika? Achana nae asipoitika kwani ni mama yako mzazi? Do wht ur suppose to do,I hope mkeo mtarajiwa anajua hii stori