nisaidien jaman....

emmy 2nyi

Member
Aug 24, 2013
66
25
nilikua na mpenz ambae tulipendana thanaaaa kwa bahati mungu kampenda zaidi miez kadhaa ilopita sasa kila nikikaa namkumbuka naumia sana kiasi kwamba najikuta kulia tu.. nifanyeje jaman ili niweze kuwa sawa.?
 
Pole sana bado mapema kusahau mtu uliyekuwa naye karibu na mwapendana endelea kuomba Mungu akujalie faraja na machungu uliyonayo ni ngumu kusahau kabisa lakini utapata faraja na kurudi katika hali ya kawaida
 
Pole sana bado mapema kusahau mtu uliyekuwa naye karibu na mwapendana endelea kuomba Mungu akujalie faraja na machungu uliyonayo ni ngumu kusahau kabisa lakini utapata faraja na kurudi katika hali ya kawaida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom