Niko na demu mmoja hivi ,single mother, tumeanza relationship nae ila cha ajabu siku na date nae nataka kuingiza chuma ktk K yake, inasinyaa kbs, acha hyo nikarudia mara ya pili same story, ngachoka kbs, kuna aliekutana na hali km hii?
Niko na demu mmoja hivi ,single mother, tumeanza relationship nae ila cha ajabu siku na date nae nataka kuingiza chuma ktk K yake, inasinyaa kbs, acha hyo nikarudia mara ya pili same story, ngachoka kbs, kuna aliekutana na hali km hii?
Halafu mtu unakuja kusema maisha magumu. Yataacha kua magumu kama unakuja jf kuuliza jambo la kipumbavu namna hii? Si ungekuja hata kuulizia mbinu za kilimo au potelea kote hata za kuuza kahawa basi uswahilini watu wakusaidie, una umri gani ndugu?
Halafu mtu unakuja kusema maisha magumu. Yataacha kua magumu kama unakuja jf kuuliza jambo la kipumbavu namna hii? Si ungekuja hata kuulizia mbinu za kilimo au potelea kote hata za kuuza kahawa basi uswahilini watu wakusaidie, una umri gani ndugu?
Mume wake itakuwa ni mtu toka Tanga. Amelock kitumbua chake kisichakatwe kimasihara.
Na ukijifanya mjuaji unalazimisha kuonja hivyohivyo utajikuta unanasa kwenye tego hadi yeye mwenyewe aje akunasue.