Habar zenu waafrica kamili***kwa kiufupi mi mzima kabisa yan cjui niseme nn kwa kwel nashukuru kakichwa kamepona japo kalikuwa kanauma kwa mbaaaali.....ila sijaja humu kwa salamu tu kwa sababu nitaishia kukosolewa lengo kuu ni kuhusu mahusiano nilikuwa naogopa kuingia ktk mapenzi kwasababu yameumiza asilimia kubwa ya watu sasa nimen'gamua akili yangu na sasa nipo tayari kuingia ktk mahusiano sasa jambo la msingi nataka tuwe pamoja ktk ushauri pale nitakapoleta uzi wa masikitiko na wa furaha kwasababu kunawatu wameshaanza kuninyemerea najua kuna wakwel na waongo niombeeni nisilie kama watu wengine bali niwenafuraha ktk mapenzi kama baadhi ya watu wengne...haya jaman nimemaliza sitaki kukosolewa kukosolewa ni vibaya sana mmwaaaah nawapendeni wote japo siwajui.