Haina shida, mbona mkeo alipokuaga anakwenda kumwona mgonjwa jirani yenu amelazwa, alipotoka hospitali alipitia kwangu nikachovya. Sema tu umemharibu anaharufu mbaya!Kama upo kuangalia mpira muda huu, saa nne na dakika 51 usiku. Tarehe 12/12/2018
Basi fahamu kuwa mke wako anachat namimi muda huu. Nimemuuliza mme wako yupo wapi, anasema yupo kuangalia mpira. Kwahyo muda huu tunachat story za mahaba, ananiambia twende tukaoge.
Bado sijamtafuna, ndio tunaelekea huko. Tumepanga appointment Jumapili, kwahyo kama leo upo kuangalia mpira na mke wako akasema ana kikao cha wamama Jumapili basi ujue ndio anakuja kuonana namimi.
12/12/2018, 10:51 pm
Mkeo na beki tatu wako hawajambo lakini?
Yaishe viatu[emoji852]Kwahiyo swali langu hujaliona au Drama!
[emoji3][emoji3][emoji3] Na yameisha.Yaishe viatu[emoji852]
Kama dunia itasimama leo hii... Nitashuka tu nitafute usafiri mwingineKama upo kuangalia mpira muda huu, saa nne na dakika 51 usiku. Tarehe 12/12/2018
Basi fahamu kuwa mke wako anachat namimi muda huu. Nimemuuliza mme wako yupo wapi, anasema yupo kuangalia mpira. Kwahyo muda huu tunachat story za mahaba, ananiambia twende tukaoge.
Bado sijamtafuna, ndio tunaelekea huko. Tumepanga appointment Jumapili, kwahyo kama leo upo kuangalia mpira na mke wako akasema ana kikao cha wamama Jumapili basi ujue ndio anakuja kuonana namimi.
12/12/2018, 10:51 pm
Msafi mcha munguSAWA MZINIFU
hata hivyo anajiita baba tupac... yule mzee alikua muhuni kama yeyeWashkaji zake 2Pac walisokota majivu ya Marehemu rafiki yao wakayavuta kama bhangi ili kupata busara alizokuwa nazo step son wa mzee Shakur. Badilisha jina mzee!
Dahhh. Unajiamini sana JEMBEWatu wamewaka sana, poleni wakuu. Yawezekana upo humu mwenye mke, yawezekana nakujua. Jpli namla mkeo mamaeee wewe
Ukute ndo anaenda kugongwa yeye, sema huku uongo mwingiKama upo kuangalia mpira muda huu, saa nne na dakika 51 usiku. Tarehe 12/12/2018
Basi fahamu kuwa mke wako anachat namimi muda huu. Nimemuuliza mme wako yupo wapi, anasema yupo kuangalia mpira. Kwahyo muda huu tunachat story za mahaba, ananiambia twende tukaoge.
Bado sijamtafuna, ndio tunaelekea huko. Tumepanga appointment Jumapili, kwahyo kama leo upo kuangalia mpira na mke wako akasema ana kikao cha wamama Jumapili basi ujue ndio anakuja kuonana namimi.
12/12/2018, 10:51 pm