Nipeni ushauri

Nipeni ushauri

Babycute

Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
81
Reaction score
16
Mimi ni msichana,Niliwah kuwa na mpenz ambae tulipendana sana,on bed alikuwa mjuz kwel kias ambacho kuwa mbal nae siwez.kwa bahat mbaya tulikuja tengana kutokana na yeye kutokua mwaminifu hapo badae.kwasasa nna mpenz mwngne,yani inaniwia vigum sana kusex nae.kila akiniomba najisikia vibaya.kiukwel nakosa hamu nae na nakuwa sipat raha yoyote nikisex nae pamoja na kwamba tumesex mara nyng,siridhiki nae kabisa.naomben ushauri wenu nifanyeje niweze kufurahi kusex na mpenz wangu huyu.
 
Kwanza baada ya kuachana na huyo mpenzi wako ulikaa kwa muda gani? Pili jaribu kuondoa fikra za kuhusu yule mpenzi wako wa zamani na weka fikra katika mpenzi wako mpya. Tatu, weka mawazo yako katika tendo husika, usichanganye mawazo
 
Ukitaka uenjoy unatakiwa muwasiliane ktndn muulize ukifanya nin anaenjoy zaid, then mwambie ukinishk hiv hiv naenjoy zaid na maelezo mengne
 
Mimi ni msichana,Niliwah kuwa na mpenz ambae tulipendana sana,on bed alikuwa mjuz kwel kias ambacho kuwa mbal nae siwez.kwa bahat mbaya tulikuja tengana kutokana na yeye kutokua mwaminifu hapo badae.kwasasa nna mpenz mwngne,yani inaniwia vigum sana kusex nae.kila akiniomba najisikia vibaya.kiukwel nakosa hamu nae na nakuwa sipat raha yoyote nikisex nae pamoja na kwamba tumesex mara nyng,siridhiki nae kabisa.naomben ushauri wenu nifanyeje niweze kufurahi kusex na mpenz wangu huyu.

umepita muda gani toka uachane na jamaa na upate mpenzi mpya?
alafu asante kwa kudhihirisha kuwa wanawake wanapenda kugegedwa vizuri lol
 
kwa nini ulikuwa na huyo mpenzi mpya? namaanisha nini kilikusukuma umkubali?
 
Daaaah ndo nauona umuhimu wa taratibu za zaman mwanamke kuolewa bikira!!!Walikuwa wanajua ni maana yake

umeona eh...alafu nyie siku hizi mwanaume akisema anataka bikra mwasema oh kwani unaoa bikra au unaoa mtu...nyooo!! never ever devalue virginity. haya sasa dunia full majanga
 
sipat raha yoyote nikisex nae pamoja na kwamba tumesex mara nyng,siridhiki nae kabisa.

''Sex is always about emotions. Good sex is about free emotions; bad sex is about blocked emotions.'' Deepak Chopra
 
Tatizo ni kutokuwa na hisia naye bado fikra na mawazo yako kwa yule aliyekuwa anakukuna kwa hiyo hapo tatzo ni wewe mwenyewe jitahidi kumsahau yule wa mwanzo na kuweka hisia kwa huyu wa pili utafurahi tu
 
Basi urudiane na yule wazamani kama yupo available..
 
jaribu kwanza kumweleza kichapo alichokuwa anakupa yule wa mwanzo everything alivyokuwa anakufanyia mfundishe yote labda wa mwanzo alikuwa mtu wa kuzama mgodini akishindwa hamia airtel(kwangu) hutajutia
 
jibu simpo ambalo wenG wamekushaur ni FUNGUKA means MWAMBIE MWENZIO.. coz men tukiambiwa tunazingtia sana hasa wen t comes to MAPENZ..
 
npe nafasi huyu wa sasa katika akili ya na msahau wa zamani
 
Una ufahamu wimbo wa BUSHOKE UITWAO BARUA?
mii nakushauri mfuate wa zamani, mkapime, kama yupo safi nawe upo safi .. mkalishe chini SEMA nae akuelewe.. kisha rudini kwenye mahusiano... wallah siku hiyo viporo vyote utavimwaga... asikudanganye mtu, ukimpenda mtu fulani hata akikugusa tu weee kwisha habari yako.... lkn kama humpendi hata aweke manjonjo utaona aahhh bora amalize aishie zake...
K I P E N D A R O H O na ujue kiu ya maji haizimwi kwa soda... PENDO LA JUMA.. HATA IWE VIPI JOHN HALIMAZI....
 
Kuna dada mmoja nilisoma nae pale ILOS miaka ya nyuma.. alikuwa anampenda sana Roberto Carlos yule mchezaji wa Brazil... yaani siku ikicheza Real Madrid (wakati yupo Madrid) au ikicheza Brazil habanduki kwenye TV.. alikuwa anapenda Misuli yake... yaani anakwambia akimuona tu Roberto Carlos ankimbia na mpira.. au anapiga mashuti, yy kwishaaa nguo ndogo inakuwa mbichi....
 
Back
Top Bottom