Nipe kazi za Electric Fence,CCTV na Acces Control System

Nipe kazi za Electric Fence,CCTV na Acces Control System

X-Agent

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2014
Posts
8,839
Reaction score
16,698
Wakuu,

Tunauzoefu wa Zaidi ya miaka 10 wa Kufunga CCTV, Fensi za umeme, Alarm za usalama, Kengele za getini zinazoenyesha video na sauti (Intercom)
pamoja ni system za kudetect moto.
Kazi ni za ubora wa hali ya juu kwa bei ambazo ni affordable ukilinganisha na ubora wa kazi pamoja na Durability ya material.
Tukikufungia tunakuhakikishia -

Usalama
Uimara wa vifaa
kazi zenye kwango vya Kimataifa (ISO Certified)
warranty ya mwaka mmoja
service bure kwa kipindi chote

Tunakaribisha-

Makampuni
Mashirika
Majengo ya biashara
Majumbani
 
Hivi jamani tunakwama wapi. Unaweka tangazo unashindwa kuweka contact zako hao wateja watakupataje?.
Fundi anayesahau kuweka mawasiliano yake wakati anaomba kazi kweli tunaweza kumwamini na kumpa kazi?
 
Post nimeweka zamani sana mpaka nimesahau 😀 Aliye serious tuwasiliane PM, ofisi zetu zipo Dar es Salaam, Mwanza na Arusha. Kufunga Tunafunga mikoa yote Tanzania.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom