Kiparuanda
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,578
- 2,377
TMA: Hii ni mamlaka ya hali ya hewa Tanzania, hawajawahi kuripoti ujio wa janga lolote la kiasili zaidi ya kutangaza daily kuwa kutakuwepo na mawingu, mvua, ngurumo na vipindi vya jua nchi nzima? (wakitambua moja ya hivyo lazima kitokee nchini siku husika). Kwa nn serikali isiombe raia mmoja ajitolee kufanya kazi hiyo bure?
TBS: Shirika la viwango Tanzania. Kwanini serikali inawajengea watu maofisi makubwa na kuwapa magari na mishahara wanapiga mishe za quality control wakati almost every comodity imported in this country is fake? Sio electronics, sio nguo, sio dawa, sio taaluma. Mtanzania unanunua pkpk mpya karibu sh 3,000,000 ina tbs ukijishau ikianguka hata kwa bahati mbaya inapasuka yote. Unaenda dukani unanunua vifaa vya umeme vina tbs unafanya wiring ukikaa mwaka mmoja vinapukutika. Pia kwenye bomba, bati, rangi, vioo, tiles, vitasa napo ni vivyo hivyo, haijalishi vimezalishwa tanzania au nje.
BASATA:Baraza la sanaa Tanzania. Kwanini wasanii wanalalamika kudhulumiwa haki zao wakati chombo hiki kipo? Wakina diamond wanafanya juhudi binafsi kulinda milki za kazi zao wakati hawa jamaa wapo bize kusikiza nyimbo za Ney wa mitego na snura bila kujali kuna wengine wanaonajisi maadili kwa kucheza ponografia kwa kisingizio cha music videos na wengine kuimba upumbavu kama hainaga ushemeji.
TBC: Tangu nikiwa chekechea maiaka ya 90 kuna babu namsikiaga akitajwa kama fundi mitambo (jina namsitiri), nashindwa kuelewa ni mitambo gani wanayomiliki hawa huku matangazo yanasua sua, hawana content ya maana, habari zao za uongo, poor reception, miziki ya zamani (japo mizuri, ila wamezidi). Hili naomba lifutwe, wafanyakazi wastaafishwe na majengo yabomolewe kabisa tuachane na hii biashara.
Hayo ni maoni yangu, tema povu tukabiliane.
TBS: Shirika la viwango Tanzania. Kwanini serikali inawajengea watu maofisi makubwa na kuwapa magari na mishahara wanapiga mishe za quality control wakati almost every comodity imported in this country is fake? Sio electronics, sio nguo, sio dawa, sio taaluma. Mtanzania unanunua pkpk mpya karibu sh 3,000,000 ina tbs ukijishau ikianguka hata kwa bahati mbaya inapasuka yote. Unaenda dukani unanunua vifaa vya umeme vina tbs unafanya wiring ukikaa mwaka mmoja vinapukutika. Pia kwenye bomba, bati, rangi, vioo, tiles, vitasa napo ni vivyo hivyo, haijalishi vimezalishwa tanzania au nje.
BASATA:Baraza la sanaa Tanzania. Kwanini wasanii wanalalamika kudhulumiwa haki zao wakati chombo hiki kipo? Wakina diamond wanafanya juhudi binafsi kulinda milki za kazi zao wakati hawa jamaa wapo bize kusikiza nyimbo za Ney wa mitego na snura bila kujali kuna wengine wanaonajisi maadili kwa kucheza ponografia kwa kisingizio cha music videos na wengine kuimba upumbavu kama hainaga ushemeji.
TBC: Tangu nikiwa chekechea maiaka ya 90 kuna babu namsikiaga akitajwa kama fundi mitambo (jina namsitiri), nashindwa kuelewa ni mitambo gani wanayomiliki hawa huku matangazo yanasua sua, hawana content ya maana, habari zao za uongo, poor reception, miziki ya zamani (japo mizuri, ila wamezidi). Hili naomba lifutwe, wafanyakazi wastaafishwe na majengo yabomolewe kabisa tuachane na hii biashara.
Hayo ni maoni yangu, tema povu tukabiliane.