Nini tiba ya harufu mbaya na kali kutoka Puani.

Msigazi Mkulu

JF-Expert Member
Dec 22, 2013
4,110
3,269
Nina jihisi nina hili tatizo maana nikiwa kwenye vyombo vya usafiri watu ugaeuzia shingo zao pande mwingine na wife hawezi lala tumetazamana. Nilichukua hatua ya kwenda hospitali mara mbili tena kubwa nikiwaeleza nina tatizo la kutoa harufu mbaya mdomoni mara zote madaktari wa meno wameniambia sina hilo tatizo na kuishia kunipa mouthwash na mimi nimekuwa nikizitumia mara kwa mara bila kupona. Sasa katika uchunguzi wangu nimegundua kuna baadhi ya watu hasa huku kanda ya ziwa wanatoa hizo harufu puani na kali sana pamoja na mimi kuwa na hilo tatizo lakini hujikuta nikikaa karibu na watu wa dizaini hiyo huwa nakwepa kugeukia upande walipotazama. Hili tatizo wanalo watu wengi hasa huku kanda ya ziwa. Nini chanzo chake na tiba.
 
Nina jihisi nina hili tatizo maana nikiwa kwenye vyombo vya usafiri watu ugaeuzia shingo zao pande mwingine na wife hawezi lala tumetazamana. Nilichukua hatua ya kwenda hospitali mara mbili tena kubwa nikiwaeleza nina tatizo la kutoa harufu mbaya mdomoni mara zote madaktari wa meno wameniambia sina hilo tatizo na kuishia kunipa mouthwash na mimi nimekuwa nikizitumia mara kwa mara bila kupona. Sasa katika uchunguzi wangu nimegundua kuna baadhi ya watu hasa huku kanda ya ziwa wanatoa hizo harufu puani na kali sana pamoja na mimi kuwa na hilo tatizo lakini hujikuta nikikaa karibu na watu wa dizaini hiyo huwa nakwepa kugeukia upande walipotazama. Hili tatizo wanalo watu wengi hasa huku kanda ya ziwa. Nini chanzo chake na tiba.
Mkuu umekosea kuandika Topic yako aka kchwa cha habri . Wewe unatokwa na harufu mbaya ya mdomo kwa lugha ya kitaalaam ugonjwa unaoitwa kw ajina hili Halitosis Au Bad Breath hakuna dawa ya hospitali itakayoweza kukutibia ugonjw ahuo na ukapona sio rahisi. Mimi ninayo dawa ya kuweza kukutibia na ukaweza kupona maradhi yako ukitaka nitafute kwa Wakati wako uguw apole.

kinywa

Ni nini kinachosababisha harufu mbaya ya kinywa?​

Pumzi mbaya inaweza kutokea ikiwa mdomo haujaoshwa vizuri, na wakati mwingine inaweza kuwa sababu ya ugonjwa.
Pia, kuna aina fulani ya vyakula ambavyo vinaweza kusababisha harufu mbaya ya kinywa.
Na maadili kadhaa ya kawaida yanaweza kusababisha pumzi mbaya.
  • Ni shida inayoathiri mtu mmoja kati ya watu wanne
  • Sababu kuu ikiwa ni usafi duni wa kinywa
  • Kuacha mabaki ya chakula husababisha shida hiyo
  • Kuoza kwa meno
  • Kuweka kinywa chako kuwa kikavu
  • Kuvuta bangi kunaweza kusababisha harufu mbaya mdomoni
  • Pia kuna visa ambavyo dawa za matibabu zinaweza kusababisha harufu mbaya lakini ni suala la muda tu kabla ya kumaliza dawa hizo
  • Pia kuna maambukizo ambayo huathiri zoloto na pua na mdomo ambapo bakteria huoza na kusababisha harufu mbaya ya kinywa.
  • Vyakula vya familia kama vitunguu, vitunguu na pipi husaidia kupunguza harufu.
 
Mkuu umekosea kuandika Topic yako aka kchwa cha habri . Wewe unatokwa na harufu mbaya ya mdomo kwa lugha ya kitaalaam ugonjwa unaoitwa kw ajina hili Halitosis Au Bad Breath hakuna dawa ya hospitali itakayoweza kukutibia ugonjw ahuo na ukapona sio rahisi. Mimi ninayo dawa ya kuweza kukutibia na ukaweza kupona maradhi yako ukitaka nitafute kwa Wakati wako uguw apole.

kinywa

Ni nini kinachosababisha harufu mbaya ya kinywa?​

Pumzi mbaya inaweza kutokea ikiwa mdomo haujaoshwa vizuri, na wakati mwingine inaweza kuwa sababu ya ugonjwa.
Pia, kuna aina fulani ya vyakula ambavyo vinaweza kusababisha harufu mbaya ya kinywa.
Na maadili kadhaa ya kawaida yanaweza kusababisha pumzi mbaya.
  • Ni shida inayoathiri mtu mmoja kati ya watu wanne
  • Sababu kuu ikiwa ni usafi duni wa kinywa
  • Kuacha mabaki ya chakula husababisha shida hiyo
  • Kuoza kwa meno
  • Kuweka kinywa chako kuwa kikavu
  • Kuvuta bangi kunaweza kusababisha harufu mbaya mdomoni
  • Pia kuna visa ambavyo dawa za matibabu zinaweza kusababisha harufu mbaya lakini ni suala la muda tu kabla ya kumaliza dawa hizo
  • Pia kuna maambukizo ambayo huathiri zoloto na pua na mdomo ambapo bakteria huoza na kusababisha harufu mbaya ya kinywa.
  • Vyakula vya familia kama vitunguu, vitunguu na pipi husaidia kupunguza harufu.
Shukrani kwa ushauri, unapatikana wapi?
 
Nina jihisi nina hili tatizo maana nikiwa kwenye vyombo vya usafiri watu ugaeuzia shingo zao pande mwingine na wife hawezi lala tumetazamana. Nilichukua hatua ya kwenda hospitali mara mbili tena kubwa nikiwaeleza nina tatizo la kutoa harufu mbaya mdomoni mara zote madaktari wa meno wameniambia sina hilo tatizo na kuishia kunipa mouthwash na mimi nimekuwa nikizitumia mara kwa mara bila kupona. Sasa katika uchunguzi wangu nimegundua kuna baadhi ya watu hasa huku kanda ya ziwa wanatoa hizo harufu puani na kali sana pamoja na mimi kuwa na hilo tatizo lakini hujikuta nikikaa karibu na watu wa dizaini hiyo huwa nakwepa kugeukia upande walipotazama. Hili tatizo wanalo watu wengi hasa huku kanda ya ziwa. Nini chanzo chake na tiba.
Muone Dr bingwa wa Koo, pua na masikio(ENT surgeon), yeye kwa kushirikiana na Dr wa kinywa na Meno watakusaidia. kama uko kanda ya ziwa waone Bugando, Sekou toure, au private zingine kubwa kubwa zenye hadhi hiyo.


#halitosis?…..sinusitis??
 
Nimepata hint sehemu kuhusu harufu ya mwili/mdomo/jasho/mkojo kuwa inaendana na unachokikula pia; Chakula kinachoegemea kwenye nyama, junk na mikaangizo VS kichoegemea kwenye matunda, mbogamboga na michemsho.

Ukiangalia kimantiki haiwezekani panya amshinde harufu paka kabisa, maana paka anamla huyo panya so harufu yake ni harufu ya paka plus harufu ya panya.

So kama chakula chako ni kitata bro, utamaliza pafyumu na pafyumu na mabeseni na mabeseni ya maji ya kuoga. Ndo maana baada ya kula mapilau siku mbili tatu za mbeleni lazma harufu zinazokutoka ziwe tata. Shida inakuja watu sasa wamehalalisha kula kiukawaida vyakula rasmi. So harufu za ajabu zinakuwa ndii kawaida yao
 
Back
Top Bottom