janjab
Senior Member
- May 28, 2015
- 172
- 56
Hivi majuzi nimeota kuwa rafiki yangu amefariki, ambaye alikuwa mgonjwa na baada ya ndoto hiyo nilihuzunika sana lakini nilimpigia simu na akasema yupo poa tu.
Je nini maana ya ndoto hii naomba kujuzwa wana jf.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je nini maana ya ndoto hii naomba kujuzwa wana jf.
Sent using Jamii Forums mobile app