Nini tafsiri ya hii ndoto?

Nini tafsiri ya hii ndoto?

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,966
Reaction score
5,558
Hapo vip!!

Jamani usiku huu nimeota ndoto moja ambayo imenitisha sana na mara baada ya kuamka nimejiskia vibaya sana.

Nimeota gafla nipo sehemu kuna viti flani hivi lakini imetengenezwa kwa chuma then sehemu za kukalia katika hivyo vitu imeandika maneno ya Qurani ambayo binafsi mimi sijui maana yake.

Katika ya maandishi hayo kuna ya ranngi nyekundu,blue na mengine sikumbuki rangi ila gafla nikakaa katika kitu hata sikumbuki rangi ila sio rangi nyekundu wala Blue.

Banda ya hapa nikajikuta nimeshika karatasi mkokono lenye maneno ya Qurani lakini yametafririwa kiswahili.

Nakumbuka Neno Mmoja tu miongoni mwa yale yote ila ilikuwa nayasoma kikuQurani then naona tafsiri kwa kiswahili,neno ninalokumbuka nineno liloandikwa lakini tafsiri yake MMungu na walivyotafsiri wameweka double MMungu.
Nawakati nasoma hayo maneno niliona kama nimebadilisha dini kutoka ukristo nakuwa muslamu,so ilikuwa kama nafundishwa dini ya kislamu.

Lakini nilikuwa sina furaha wakati nasoma yale maneno and moyo wangu na roho yangu inaonekana nimebadilisha dini basi tu but sikupenda.

Sasa wadau naombeni tafsiri yake kwasababu binafsini sina mawazo wala ndoto yakuja kuwa muslam hata siku mmoja.
 
utakua unaikubali dini ya kiislamu in real life.lol mambo unayoota mengine yako kwenye subconscious ,ni mambo unayofikiria kila siku yanajitokeza kwenye ndoto,au umeona kitu cha kiislamu recently kikakumbusha jinsi unavyoikubali hio dini ndio maana ukaota,hapa nachukua nafasi ya mshana jr lol
 
utakua unaikubali dini ya kiislamu in real life.lol mambo unayoota mengine yako kwenye subconscious ,ni mambo unayofikiria kila siku yanajitokeza kwenye ndoto,au umeona kitu cha kiislamu recently kikakumbusha jinsi unavyoikubali hio dini ndio maana ukaota,hapa nachukua nafasi ya mshana jr lol
Hey, happy holiday
 
Naisi wanataka kukupa uganga au kukukabizi mikoba flan ila dini ndo tatzo usibadili dini pia sali sana ili wasikuone ww mwenzao wakakup mambo yao
 
Fanya maombi ya kuikataa hiyo roho, mapepo sio mazuri, pia mshirikishe kiongozi wako wa kanisa akusaidie, kwa kuwa ndiye anayekujua maisha yako halisi, Mungu na akuepushe na hiyo roho
 
Unashauriwa usibugie mlo mwingi wakati wa kwenda kulala, inasababisha kuota mindoto ya ajabuajabu
 
Kemea Hyo Ndoto Kwa Jina La Yesu Mala Unapolala Jiwekee Ulinzi Wa Dam Ya Yesu Takasa Lango Lako La Ndoto Isiingie Ndoto Ambayo C Mapenz Ya Mungu ,,, Wale Wana Majini Et Wanasema Mazur,be Care
 
Kemea Hyo Ndoto Kwa Jina La Yesu Mala Unapolala Jiwekee Ulinzi Wa Dam Ya Yesu Takasa Lango Lako La Ndoto Isiingie Ndoto Ambayo C Mapenz Ya Mungu ,,, Wale Wana Majini Et Wanasema Mazur,be Care
Iyo damu ya yesu inauzwa Wapi, nataka lita tano
 
Fanya maombi ya kuikataa hiyo roho, mapepo sio mazuri, pia mshirikishe kiongozi wako wa kanisa akusaidie, kwa kuwa ndiye anayekujua maisha yako halisi, Mungu na akuepushe na hiyo roho

Amina, nitafanya hvyo!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom