Jamani dada ungesubiri atumie kidogo 😅oooh!!!! nimeelewa.
Binti yangu aliniletea upuuzi huo wa ku glow akaja na product sizikuzielewa nikampiga mkwala,, nikamwambia humu tunatumia clear essence tu.
akianza kujihudumia ndio ataingia huko
🤣🤣🤣ila kuonana naoSipendelei kuwasiliana na watu nisowajua kupitia video call.
Hivi ni nini eti 😝mtu akusifie umependeza kesho unaamka na chunusi
siwezi kubisha sana inawezekana.weeee amna🤣🤣🤣ningekutumia ngozi yangu unambie nimeglow au sijaglow
Bora kuonana🤣🤣🤣ila kuonana nao
Mi staki ajichubue lakini akifika 21 akiamua sitakuwa na namna.Jamani dada ungesubiri atumie kidogo 😅
Nakubaliana na wewe.Mi staki ajichubue lakini akifika 21 akiamua sitakuwa na namna.
Mie wa MkoaniWatu wa Dar mna mambo mengi sana
Mkoani wa Kinondoni au wapi ?Mie wa Mkoani
Mkuu nilikuwa nakufananisha na Id ya ledada,hapo kwenye kuwa na binti ndio umenishituaoooh!!!! nimeelewa.
Binti yangu aliniletea upuuzi huo wa ku glow akaja na product sizikuzielewa nikampiga mkwala,, nikamwambia humu tunatumia clear essence tu.
akianza kujihudumia ndio ataingia huko
Kilichokushtua ni nini!!!? kwani nilishawahi kukulalamia sina kizazi???Mkuu nilikuwa nakufananisha na Id ya ledada,hapo kwenye kuwa na binti ndio umenishitua
Hapana,siyo upande huo. Usinielewe vibaya, mwenye Id hiyo alikuwa mdogo na hajaonekana Jf ni muda mrefuKilichokushtua ni nini!!!? kwani nilishawahi kukulalamia sina kizazi???
Sijakuelewa vibaya hata.Hapana,siyo upande huo. Usinielewe vibaya, mwenye Id hiyo alikuwa mdogo na hajaonekana Jf ni muda mrefu
🤣🤣Kuna binti nilimtongoza.
Nilimuona insta
Niliona Ngozi inawaka
Nikajua nimepata katoto ka afu 2
Niende nikakatafune
Kuja kuonana naye live mzuka wote uliisha.
Kwanza kafupi halafu kibonge