Ikama ni neno la Kiswahili lenye maana ya ; idadi ya (watu) wajumbe, wanachama, wanajeshi nk, ambapo idadi hiyo ikitimia katika kikao kwa mujibu wa kanuni au sheria iliyokuwepo kikao hicho kinaweza kufanyika.---- kifupi Ikama ni idadi ya watu wanaoweza kukaa kikao fulani. Kwa kimombo ndio "Quorum".