asili ya jina Mbeya imetokana na neno la kisafwa ibheya likiwa na maana ya chumvi na ijulikane kuwa wasafwa ndio wenye na ndio wenye asili pale mbeya mjini ingawa kuna makabila makubwa kama Wanyakyusa, wakinga, wandali, wanyiha n.k
asili ya jina Mbeya imetokana na neno la kisafwa ibheya likiwa na maana ya chumvi na ijulikane kuwa wasafwa ndio wenye na ndio wenye asili pale mbeya mjini ingawa kuna makabila makubwa kama Wanyakyusa, wakinga, wandali, wanyiha n.k
asili ya jina Mbeya imetokana na neno la kisafwa ibheya likiwa na maana ya chumvi na ijulikane kuwa wasafwa ndio wenye na ndio wenye asili pale mbeya mjini ingawa kuna makabila makubwa kama Wanyakyusa, wakinga, wandali, wanyiha n.k
Na pia kabla ya kuitwa southern highland province wazungu waliuita scotland of Africa kwa kuwa Mbeya kulikuwa na hali ya hewa nzuri kama kwa nchini scotland hasa karibu na mlima loleza.
Na pia kabla ya kuitwa southern highland province wazungu waliuita scotland of Africa kwa kuwa Mbeya kulikuwa na hali ya hewa nzuri kama kwa nchini scotland hasa karibu na mlima loleza.