Maana
1. nini maana ya alama hii
Unatakiwa ueleze alama husika inaeleza au kuwakilisha nini.
2. Una maana gani?
Ama kwa kutenda jambo au kusema maneno, unatakiwa ueleze ni nini kusudio la kufanya au kusema ulichofanya/sema.
Kwa ujumla maana inakutaka ueleze, ung'amue au kutoa ufafanuzi.