OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,497
- 605
Usemi huwa nausikia tu,sijui unamaana gani wana Jamii forums. Ukiamua kuwa na mahusiano ya mapenzi na binamu yako ni dhambi.
Sababu kuna binamu yangu ametokea kunivutia kimapenzi.Je niwe nae au ni dhambi. Na hii ni kutokana na mila na desturi ya kiafrika.
Sababu kuna binamu yangu ametokea kunivutia kimapenzi.Je niwe nae au ni dhambi. Na hii ni kutokana na mila na desturi ya kiafrika.