Nini kinatokea 'ukimpotezea' mwanamke?

 


Endelea kupuuza wakati huo naendelea KUWAGONGA dada zako...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
This boy lazima kuna kitu, ana hasira sana na wanawake! Akidhani anawakomoa kumbe anajiumiza tu ndio maana pamoja na kubragg hivyo kila siku still hajapata releaf.


Ni kweli kabisa....
KUWAGONGA madem ni kujiumiza... But what about kuwa dump baada ya KUWAGONGA.....!!!

Listen you dumb, You cant stop me from fucking + dumping females....

And I will never stop that, till my last breath..

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
And i am the dumb one!!!
Its okey.
 
Yaani uwe unampenda kweli halafu umpotezee, labda uwe na kipaji maalumu
 
Yaani uwe unampenda kweli halafu umpotezee, labda uwe na kipaji maalumu
Iko hiv sakayo unaweza kuwa na feeling na KE kisha ukamfungukia then ukaona kama response ya awali sio nzur kwa hiyo unaamua kumpotezea kuliko kusubiri majibu ya shombo
 
Iko hiv sakayo unaweza kuwa na feeling na KE kisha ukamfungukia then ukaona kama response ya awali sio nzur kwa hiyo unaamua kumpotezea kuliko kusubiri majibu ya shombo
Hapo hapana kwa kweli,ndo maana nikasema kama wampenda kweliiii huwezi mpotezea bwana
 
Hapo hapana kwa kweli,ndo maana nikasema kama wampenda kweliiii huwezi mpotezea bwana
Unajua mkuu watu wanatofautiana wengine tabia za kulazimisha hawapendi akiona hapewi ushirikiano stahiki maana yake umekataliwa indirect kwa hiyo na ww unajiongeza unapotezea unatafuta mwingine tu. Uzur siku hz ukiamua hata one week umeshapata
 
Unajua mkuu watu wanatofautiana wengine tabia za kulazimisha hawapendi akiona hapewi ushirikiano stahiki maana yake umekataliwa indirect kwa hiyo na ww unajiongeza unapotezea unatafuta mwingine tu. Uzur siku hz ukiamua hata one week umeshapata
Mmmmh
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…