ARCHBISHOP
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 271
- 488
Wakati kila mtu akianza kuipenda na kuielewa tamthilia hii pendwa, ghafla tarehe 02/04/2019 ilihamishwa kutokea kuonyeshwa saa 21:30pm kwenda 00:30am.
Leo tarehe 03/04/2019 inaonekana imeondolewa kabisa kwenye vipindi. Hii yote imefanyika bila taharifa wala kuombwa msamaha watazamaji. Kwakweli tumekosewa na Multchoice. Au kama kuna jambo watufahamishe wapenzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo tarehe 03/04/2019 inaonekana imeondolewa kabisa kwenye vipindi. Hii yote imefanyika bila taharifa wala kuombwa msamaha watazamaji. Kwakweli tumekosewa na Multchoice. Au kama kuna jambo watufahamishe wapenzi.
Sent using Jamii Forums mobile app