Pole shosti,usimlazimishe kama ukishaona majibu yenyewe ni hayo,mimi nimlea mjukuu wa shangazi yangu wazazi wake wote wamefariki lakini sikutaka ugomvi kukaa nae nimempeleka bording school anakuja wakati wa likizo yote sikutaka maneno na mume nimekubali kulipa hela nyingi lakini iwepo amani,sasa bora uachane na kumuliza hizo story,kwanza mtoto wa kike kama bibi yake yupo basi bora,mwenyezi mungu ameijua nia yako nini kwa huyo mtoto...