dagaa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 290
- 382
Habari wana jamvini
Mimi sijui kama ni tatizo au ni uwelewa wangu ni mdogo, mimi naishi na mume wangu, na mwanangu na dada wa kazi, wiki tatu zilizopita niliongea na mume nikamwamwambia nilikua naomba nimlete mtoto wa marehe dada yangu anamjua toka tu wachumba, yupo na bibi yake bukoba, ila anaishi bukoba mjini, muda wote huyo mtoto mimi na mama angu ndo uwa tunamlipia fees na sasa yupo la tano. Mume wangu alinijibu akasema ntakujibu nipe mda nifikilie.
Ikapita wiki mbili nikamkukumbusha akanijibu nitakwambia we tulia tu, leo asubuhi wakati tupo kwa gari nikamuuliza ivi d ulisema unafikilia bado? Akanijibu unajua ukishaanza kuishi na huyo mtoto lazima umtumie nauli aje, umfanyie uamisho na kuna chakula na maradhi, kiukweli hayo mambo ya uamisho na nauli ni juu ya bibi yake, akaona anipe bomu jingine akasema lazima umnunulie nguo, na matumizi mengi, sikupenda kumjibu kwa sabubu mimi nilikua nshaongea nae nimemueleza gharama zote ni za mama, na hata kama angeumwa sana, hata kidogo bibi yake ashindwi kutuma pesa ya matibabu kwa mjukuu wake, na kingine kwa upande wangu nilikua najua atakubali kwanza mwanetu yupo mwenyewe, labda angepata wa kucheza nae. Harafu ni kajiuliza sijui kama kuna mtu anatembea na huai kuna leo na kesho. Katika maongezi akasema kwanza atuna income yoyote tofauti na mshahara, nika mwambia d ndo kwanza tumeamia kwa kibanda chetu, maana mishahara yetu wote ilikua tunaiweka kwa ujenzi, sasa ndo tufikilie bihashara. Na si kwamba atuna plan tunayo.
Ila sa nyingine ukubwa dawa, ile siku ya kwanza namwambia mume wangu kuhusu lile swala na kunijibu anafikilia, mama yangu alinijibu labda hataki, muache ntaendelea kukaa nae, mimi nikawa namwambia mama tumsikilize labda atakubali, ila majibu yanaonyesha kabisa hataki kuishi na huyo mtoto.
Swali langu ni vibaya kuishi na ndugu, make hata mimi nimelelewa na kaka zangu, na yeye pia vivyo hivyo kalelewa na ndugu, au ni mtu hasiyependa mwingiliano wa watu? NAMI NAONA NISIMUULIZE TENA SWALA HILI, ILA NAYE NDUGU ZAKE WAKIJA NI WAFANYIE VITUKO? Ila wakati mwingine ni roho ya mtu kama huna roho mbaya au ya ukatili uwezi, kama mimi na hisi roho mbaya siwezi kabisa.
Mimi sijui kama ni tatizo au ni uwelewa wangu ni mdogo, mimi naishi na mume wangu, na mwanangu na dada wa kazi, wiki tatu zilizopita niliongea na mume nikamwamwambia nilikua naomba nimlete mtoto wa marehe dada yangu anamjua toka tu wachumba, yupo na bibi yake bukoba, ila anaishi bukoba mjini, muda wote huyo mtoto mimi na mama angu ndo uwa tunamlipia fees na sasa yupo la tano. Mume wangu alinijibu akasema ntakujibu nipe mda nifikilie.
Ikapita wiki mbili nikamkukumbusha akanijibu nitakwambia we tulia tu, leo asubuhi wakati tupo kwa gari nikamuuliza ivi d ulisema unafikilia bado? Akanijibu unajua ukishaanza kuishi na huyo mtoto lazima umtumie nauli aje, umfanyie uamisho na kuna chakula na maradhi, kiukweli hayo mambo ya uamisho na nauli ni juu ya bibi yake, akaona anipe bomu jingine akasema lazima umnunulie nguo, na matumizi mengi, sikupenda kumjibu kwa sabubu mimi nilikua nshaongea nae nimemueleza gharama zote ni za mama, na hata kama angeumwa sana, hata kidogo bibi yake ashindwi kutuma pesa ya matibabu kwa mjukuu wake, na kingine kwa upande wangu nilikua najua atakubali kwanza mwanetu yupo mwenyewe, labda angepata wa kucheza nae. Harafu ni kajiuliza sijui kama kuna mtu anatembea na huai kuna leo na kesho. Katika maongezi akasema kwanza atuna income yoyote tofauti na mshahara, nika mwambia d ndo kwanza tumeamia kwa kibanda chetu, maana mishahara yetu wote ilikua tunaiweka kwa ujenzi, sasa ndo tufikilie bihashara. Na si kwamba atuna plan tunayo.
Ila sa nyingine ukubwa dawa, ile siku ya kwanza namwambia mume wangu kuhusu lile swala na kunijibu anafikilia, mama yangu alinijibu labda hataki, muache ntaendelea kukaa nae, mimi nikawa namwambia mama tumsikilize labda atakubali, ila majibu yanaonyesha kabisa hataki kuishi na huyo mtoto.
Swali langu ni vibaya kuishi na ndugu, make hata mimi nimelelewa na kaka zangu, na yeye pia vivyo hivyo kalelewa na ndugu, au ni mtu hasiyependa mwingiliano wa watu? NAMI NAONA NISIMUULIZE TENA SWALA HILI, ILA NAYE NDUGU ZAKE WAKIJA NI WAFANYIE VITUKO? Ila wakati mwingine ni roho ya mtu kama huna roho mbaya au ya ukatili uwezi, kama mimi na hisi roho mbaya siwezi kabisa.