Nini kifanyike ili kuepuka "kuchapiwa"?

Kuna jamaa alikuwa akiona mke kapendeza anataka kutoka,alikuwa anamrudisha ndani na anaenda kumto m b a kirough rough anahakikisha mpaka amemchubua ndo ana mruhusu aondoke kuna baadhi ya siku mwanamke alikuwa anahahirisha kabisa
Hapo kidogo anapunguza kuchapiwa.
Japo na sisi wanawake tuna mbinu za kuwafanya mmwage ndani ya dakika mbili.
Ukimwaga ndani ya dakika mbili papuchi inakuwa haijachoka. Ni kuiosha na maji ya baridi halafu tunaipeleka. Na vile umemwaga ndani ya dkk mbili mwanamke kabaki na hamu kama zote akifika huko ni fire.
 
1. Upendo wa mama ni for your survival
2. Upendo wa mkeo ni for her survival
Kazi kwako, chagua kifurushi unachotaka hapo juu
That's a good analogy aisee, sasa mtu anakupenda wewe iliasurvive ndio useme anakupenda wewe kwa dhati 😂😂😂 my foot. That means akiweza kusurvive mwenyewe you're a nobody to her.
 
Ndio maana hakuna sheria ya kuwapenda wazazi, au wazazi kuwapenda Watoto kwani Jambo Hilo lipo automatically.
Wala hakunaga cheti cha kisheria cha kuonesha umezaliwa na wazazi fulani.
 
Mi naona pia tuwe tunaongelea wenye uaminifu na upendo, sio kila siku masuala ya kuchapiwa.
 
Mtu anayo anatembea nayo kisha unasema unachapiwa.

Unachapiwa kwani yako? Si yake?

Mwanaume fanya mambo yako give zero fucks na mishe zake. Jukumu lako linaishia kwenye kuhakikisha akikupa unaipiga ipasavyo.
 
Mwanamke akiamua kukucheat anachepuka na hutojua kamwe na ushahidi wa ilo
Usiwacheat watumishi wa Mungu wa kweli, Mungu anawaambiaga kabisa.
Hapa ni Kwa wale wanaomtumikia Mungu Kwa mzaha ndo wanaweza wasijue siri za mwanamke anayewacheat.
Ila wale wanaomtumikia Mungu Kwa kumaanisha, watajua hadi guest unayolala.
 
Kuna walio oa mabikira na wanachapiwa vile vile. Haina formula hiyo utachapiwa tu upende usipende.
Na ukute humkuni vizuri utaenjoy show
Unaonaje watu waanze kuwa na ile open relationship/marriage.

Yaani mko pamoja kwenye ndoa au mahusiano lakini kila mtu yuko huru kutoka nje kunyanduana.
 
Mtu anayo anatembea nayo kisha unasema unachapiwa.

Unachapiwa kwani yako? Si yake?

Mwanaume fanya mambo yako give zero fucks na mishe zake. Jukumu lako linaishia kwenye kuhakikisha akikupa unaipiga ipasavyo.
If this stance were common to all men then extrajudicial killings resulting from suspicion for extramarital sex wouldn't be there.
 
Mkuu kuchapiana ni jambo la kawaida.
Usiweke maanani haya mambo omba Mungu akukinde alinde familia yako
Kuwa mwaminifu na Mungu hatokuaibisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…