Raia W Mbinguni New Member Joined Sep 17, 2018 Posts 2 Reaction score 1 Feb 13, 2020 #1 Naam! Habali za kazi ndugu wana jukwaa kama kichwa cha Habari kinavyosema. Kwa wale wataalamu, wa afya nilikuwa naomba kueleweshwa faida kiafya ya kula matunda haya, nimeona yanaliwa sana ila faida zake katika mwili sijajua. Asante!
Naam! Habali za kazi ndugu wana jukwaa kama kichwa cha Habari kinavyosema. Kwa wale wataalamu, wa afya nilikuwa naomba kueleweshwa faida kiafya ya kula matunda haya, nimeona yanaliwa sana ila faida zake katika mwili sijajua. Asante!
Guacamole JF-Expert Member Joined Mar 19, 2019 Posts 6,079 Reaction score 16,035 Feb 13, 2020 #2 Faida moja wapo ni kwamba inasaidia kusafisha/kung'arisha meno utakapolila