Ningekuwa mimi ndio Lowassa

Huyo rais anayepeleka majungu mazabauni , atajibiwa mazabauni .
Naona umezidiwa na upofu wa Uchadema,kwako wewe hakuna jema lifanywalo na serikali au raisi wetu lakini baado unaenjoy mema yafanywayo na serikali na raisi huyohuyo .Mnajifanya nyie''ndio mnajua kila kitu'' wakati hakuna mnchojua zaidi ya kelele za debe tupu,nadhani umesahau kwamba jamaa yenu alikuwa anashinda makanisani na misikitini akipiga ''siasa'' lakini kwa kuwa kumbukumbu zenu zimetawaliwa na Uchadema basi mnajifanya wasahaulifu,na ndio maana kamwe hamtaweza kutawala nchi hii kwa unafiki wenu.Mungu hawapendi wanafiki.
 
Hata akifanya hayo hawezi kutoka tena Kisiasa!! ENL is politically finished!!
 
Unamshauri atembelee nyota ya mwenzie!! Hiyo ni type ya siasa za chadema ambazo EL hazitaki!! Ni siasa za kitoto sana..

Muwe mnashauri chama kiwe na strategy siyo siasa kama ya wanafunzi wa chuo

Hazitaki siasa za cdm? Alifuata nini cdm? Hizo siasa za cdm unazoita za kitoto ndio zilifanya ccm ikamtosa Lowassa na kwa bahati mbaya ndio mkuu akaikwaa hiyo nafasi vinginevyo leo maembe ndio angekuwa rais wako. Siasa hizo za cdm ndio ndio zilisababisha serekali ya ccm kujaza magari ya kijeshi wakati wa uchaguzi ili kuwasaidia wakati wa kuchakachua kura. Na ukipenda kujua cdm fuatilia vizuri kila mkuu anapohutubia lazima aitaje cdm, au umesahau ilibidi mpaka aige ile swaga ya M4C. Siasa za domo zege sio za cdm na ngoja muda kidogo huko cdm atabadilikiwa ama watatafuta chama kingine.
 
Ila we jamaa ni mjinga, hivi hayo maswali akiuliza huoni kama yatamrudia Lowassa mwenyewe?

Kila kitu atakachoongea Lowassa sasa hivi ataulizwa ulikuwa wapi miaka yote upo serikalini.
 
kuelekeza ni rahisi sana.ungejua kuwa watu wanafutiwa hati zao za mapori kwa kushindwa kuyaendeleza,ungewaonea huruma.
Chadema sio chama cha kutegemewa tena chini ya viongozi hawa,wasanii na wafanya biashara
 

Hizo tabia za kushinda madhabahuni ni za kiccm, fuatilia hiyo michezo aliifanya akiwa wapi? Cdm siasa zao ni majukwaani na mabarabarani. Kwa taarifa yako huyo Lowassa ndio kete ya ccm kutambia, kinyume na hapo mchakamchaka wa cdm original Magu angeomba maji ya kunywa.
 
Haya Makubwa sasa, yaani unatamani uwe Lowassa ? Sasa ukisha kuwa Lowasa yeye awe nani??? Au Lowassa nae awe Lipumba.
 
Lowasa yupi huyu bubu asiyejitambua akiwa jukwaani anayeutaka urais Utafikiri aliambiwa akiwa rais basi Kawa mungu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…