Mapenzi, Mapenzi, Mapenzi. Kama kungekuwepo na chuo kinatoa shahada na kanuni halisi za mapenzi basi vijana wote ingekuwa MANDATORY kupata hiyo shahada. Mimi ni 'ME' wa 27yrs. Nilimbikiri binti 1, nikaenda 5&6, nikarudi nyumbani 2013 nikiwa 3yr, binti by then tayari kamaliza DIPLOMA, tayari wamejitokeza wachumba 3 na 1 binti kamkubali na kwenye simu kamsevu my husband.
Nikiwa 5&6 nilipiga punyeto kwan BOYS ndo kauli mbiu advance, Chuoni napo punyeto ikawa sehemu ya maisha. Nikiwa chuo mawasiliano yalikuwepo japo si EFFECTIVELY, kimsingi ameshanisaliti. Lakini aliponiona mwaka jana akasema amebadilisha mtazamo anataka kuolewa na mimi, nikawa nimekula tena mzigo kujikumbushia 2008.
Sasa nshapata kazi toka mwaka jana nikamuhakikishia nawajibika vile nilimbikiri, nikamwambia nitamuoa NIKAMUHAKIKISHIA. Pasaka hii nikamualika kutoka alipoajiliwa aje kwangu DSM kutoka mwanza, eeeh! nimeshiba watoto wa kike, tuwafanyie nini? labda mtutoe roho. NINAHESHIMU MAPENZI
Nikiwa 5&6 nilipiga punyeto kwan BOYS ndo kauli mbiu advance, Chuoni napo punyeto ikawa sehemu ya maisha. Nikiwa chuo mawasiliano yalikuwepo japo si EFFECTIVELY, kimsingi ameshanisaliti. Lakini aliponiona mwaka jana akasema amebadilisha mtazamo anataka kuolewa na mimi, nikawa nimekula tena mzigo kujikumbushia 2008.
Sasa nshapata kazi toka mwaka jana nikamuhakikishia nawajibika vile nilimbikiri, nikamwambia nitamuoa NIKAMUHAKIKISHIA. Pasaka hii nikamualika kutoka alipoajiliwa aje kwangu DSM kutoka mwanza, eeeh! nimeshiba watoto wa kike, tuwafanyie nini? labda mtutoe roho. NINAHESHIMU MAPENZI