sawa kabisa fungua website ya vodacom alafu utafanya activation ambapo utaingiza number ya simu na utapopoa settings, save na mpangilio huo huo unaweza kutumia kwa mitandao mingine bila matatizo
sawa kabisa fungua website ya vodacom alafu utafanya activation ambapo utaingiza number ya simu na utapopoa settings, save na mpangilio huo huo unaweza kutumia kwa mitandao mingine bila matatizo
Nimejaribu kwa kutumia hii nokia N95 lakini nilienda kwenye internet service inaniandikia conection fail,lakini nikitumia hizi line kwenye cm nyingine zinakubali internet
Jaribu kuEdit mwenye hizo configuration settings, access point andika 'internet' account name 'vodacom wap', priority normal, homepage 'www.vodacom.co.tz' save kama default,,badilisha na settings kwenye web application ya simu,,
Nawashauri nyie wote wenye matatizo ya Internet maana inaonekana kama ni zaidi ya mtu mmoja, kwenda Mlimani City. Pale mtapata msaada maana voda wapo na Airtel pia wapo. Msiendelee kupata taabu kama yote mliyoshauriwa hayakufanya kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.