Komenti ya kishamba Sana hii, wewe kabila gani wenye umiliki wa hizo smart phone?wagogo mmepata smart phone mnaanza kusumbua, eenhee tuambie mwenzetu kutoka makutopora , moja ya tabia za aibu za huyo ombaomba ni ipi
mimi nikabila la yule dingi mchepuko wa mama yako !Komenti ya kishamba Sana hii, wewe kabila gani wenye umiliki wa hizo smart phone?
Give her money. Akiendelea na hiyo tabia, give her more money.Katika ndoa kuaminiana ndo nguzo kubwa ambalo linaleta mafanikio
Ila katika ulimwengu wetu huu tunasema kumuamni mwanamke ni kupoteza mda na mimi apo ndipo nimesimamia mimi ni kijana nimeoa kwasasa nina miaka 3 kwenye ndoa yangu na mke wangu
Lakini kuna mambo fulani ambayo sielewi kwa mke wangu
Ni mtu ambaye nimechunguza kwa kina sana nimeoana hana huwezo wowote wa kukataa mwanaume yeyote mwenye uwezo kutokana na tabia yake ya aibu ni mtu mwenye umri wa miaka 27 lakini anatabia fulani za aibu aibu mbele ya watu ambao hawajui kitu icho kinanipa wasiwasi juu yake
Ndo maana huna akili Kama baba yako. Hata kutaja kabila lako huwezi Sasa ulikuwa na sababu gani kumshambulia mleta mada kisa mgogo?mimi nikabila la yule dingi mchepuko wa mama yako !
DuuhKatika ndoa kuaminiana ndo nguzo kubwa ambalo linaleta mafanikio
Ila katika ulimwengu wetu huu tunasema kumuamni mwanamke ni kupoteza mda na mimi apo ndipo nimesimamia mimi ni kijana nimeoa kwasasa nina miaka 3 kwenye ndoa yangu na mke wangu
Lakini kuna mambo fulani ambayo sielewi kwa mke wangu
Ni mtu ambaye nimechunguza kwa kina sana nimeoana hana huwezo wowote wa kukataa mwanaume yeyote mwenye uwezo kutokana na tabia yake ya aibu ni mtu mwenye umri wa miaka 27 lakini anatabia fulani za aibu aibu mbele ya watu ambao hawajui kitu icho kinanipa wasiwasi juu yake
Acha kumcheka mwenzako๐๐๐๐๐
Katika ndoa kuaminiana ndo nguzo kubwa ambalo linaleta mafanikio
Ila katika ulimwengu wetu huu tunasema kumuamni mwanamke ni kupoteza mda na mimi apo ndipo nimesimamia mimi ni kijana nimeoa kwasasa nina miaka 3 kwenye ndoa yangu na mke wangu
Lakini kuna mambo fulani ambayo sielewi kwa mke wangu
Ni mtu ambaye nimechunguza kwa kina sana nimeoana hana huwezo wowote wa kukataa mwanaume yeyote mwenye uwezo kutokana na tabia yake ya aibu ni mtu mwenye umri wa miaka 27 lakini anatabia fulani za aibu aibu mbele ya watu ambao hawajui kitu icho kinanipa wasiwasi juu yake