Social maniac
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 357
- 429
Ninauza mchele wa kahawia (brown rice), kwa anaehitaji anaweza nicheck PM tuka-arrange namna ya kukufikishia mzigo.
Kwanini mchele wa kahawia (brown rice)?
- Una madini zaidi ya manganese, magnesium na chuma ukilinganisha na mchele mweupe
- Una punguza uwezekano wa kupata maradhi ya kisukari
- Una Cholesterol kidogo sana ukilinganisha na mchele mweupe
- unapunguza uwezekano wa kupata uzito mkubwa
- Una kiasi kikubwa cha fiber, ambayo inapunguza uwezekano wa kupata magonjwa ya saratani
- n.k
Ni mchele uliothibitishwa kuwa na virutubisho vingi vya afya kuliko mchele mweupe. Na ni mchele mzuri sana kwa watu wanaosumbuliwa na magonjwa ya kisukari.
Itunze sana afya yako, maana ndio mtaji wako wa kwanza.
Karibu nikuhudumie
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini mchele wa kahawia (brown rice)?
- Una madini zaidi ya manganese, magnesium na chuma ukilinganisha na mchele mweupe
- Una punguza uwezekano wa kupata maradhi ya kisukari
- Una Cholesterol kidogo sana ukilinganisha na mchele mweupe
- unapunguza uwezekano wa kupata uzito mkubwa
- Una kiasi kikubwa cha fiber, ambayo inapunguza uwezekano wa kupata magonjwa ya saratani
- n.k
Ni mchele uliothibitishwa kuwa na virutubisho vingi vya afya kuliko mchele mweupe. Na ni mchele mzuri sana kwa watu wanaosumbuliwa na magonjwa ya kisukari.
Itunze sana afya yako, maana ndio mtaji wako wa kwanza.
Karibu nikuhudumie
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app