Ninashida kubwa nahitaji hii nyimbo

tecnohailali

Senior Member
Joined
May 15, 2017
Posts
168
Reaction score
76
Salam wakuu.[emoji26] Nimeitafuta mitandao yote duniani nimeikosa. Kuna Dada tulikua wote Johannesburg alikua nayo ila nikashindwa kumuomba. Maana tulikua kwenye msiba wa mama yake. Nikaona itakua sibusara kwapale kumuambia mana alikua na mawazo ya msiba.

Nyimbo yenyewe jina siijui ila inaimbwa hivi.
Posa wangu baba Unihurumie wema wangu Leo nitajulisha Kama niwatoto fika kwetu posa utawaona utawaona. Usifike kwangu utaleta fujo nampenzi wangu wasasa. Tulitalaka na wewe bila kuleta kitu kwetu tena nakuteswa juu uniurumieeee.


The Rich Man.
 

Hiyo ninayo mkuu, ni ya defao sehemu nilipo mtandao si mzuri ningeattach
 

Huo ni Mziki wa Defao akimshirikisha Suke chile Joel, kijana wa Lubumbashi Kibao kitaitwa KOLZA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…