Ninapokuwa na mwenza wangu kitandani, mawazo na hisia huwa zinapotea, nifanyeje?

Bongo.Com

Member
May 17, 2015
52
20
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Nina tatizo moja linalonisumbua kwa muda mrefu.

Tatizo lenyewe ni hili;

Ninapokuwa na mwenza wangu au wale wa kupita maeneo ya kitandani Mawazo na hisia zangu huwa zinapotea kabisaaa na hivyo kusababisha 'askari jeshi' wangu kubaki akiwa amelala na kujikuta vita vinamshinda. Na hata nikijaribu kuvuta hisia wapiii mambo yanagonga ukuta bila mafanikio.

Ila cha kushangaza, nikiwa mwenyewe nikianza kufikiria hisia zinakuja na askari husimama hali ya kuwa adui ameshaondoka.. Kiukweli ni aibu tena aibu.

Jamani naombeni ushauri wenu nini cha kufanya!? Najua tuna madokta humu ndani na wasio madokta lakin wenye mawazo yenye tija..

Please mawazo ni bora. Si jambo la ajabu kwa kuwa hili ni tatizo lililopo katika kizazi cha karne hii. Tukumbuke kuwa "Kabla hujafa Hujaumbika". Leo kwangu kesho kwako..

Nasubir mchango wenu, nawapenda wote.

Asanteni wanaJF..
 
Askari wa mgambo huyo mwoga wa vita
Kunywa hiyo
ImageUploadedByJamiiForums1461107000.353280.jpg
 
Point ya Miss Neddy itakufungua. Kuna uwezekano ukawa unaishughulisha sana akili yako kwenye punyeto. Jitahidi ukiwa idle usikae peke yako.
 
Unapokua faragha, unapata ugonjwa wa HOFU na MASHAKA.
Hii inaweza kua imesababishwa na jambo au tukio lenye negative ambalo limekua kikijirudia akilini mwako
 
Kuna mambo mawili

Kutojiamini
Kukamia sana

Muone mtaalam wa saikolojia kama vile Dr. Mauki, hapo hata usiande kwa mwaka, wala kunywa mchuzi wa pweza ni tatizo la kisaikolojia kabisa.

Pia jitahid uache;
- Puli
- Kuangalia porn
- Kupiga chabo

Au kuwa na picha za nyuchi za wanawake
Au kuwawaza madem wako walo pita too much..

Usipo pona hapo umerogwa aki
 
I'm not endorsing fornication lakini inawezekana ni WOGA na kukosa kujiamini tu wala hakuna kingine.

Tafuta mwanamke, hasa mkubwa kwako kiumri, piga one night stand, au yoyote tu ili mradi sio mpenzi, ufanye nae..jiamini tu wala hakuna tatizo.
 
Pole mkuu, chips kuku hizo pizza na baba mkuu jitahidi kula vyakula vya asili.. Punyeto ni mbaya, jitoe chaputa mkuu.

Pia ww hujiamini kabisa, ni PM nikupe dawa ya mtishamba toka Kivu Kongo utanikumbuka, mzee nimesaidia wengi sana wenye tatizo hilo.
 
mmmm pole,hukutokea tangu zamani au ni mageni kwako? nikimanisha tangu ulivyokua ukianza kufanya kapenzi hapo zamani au ni hivi karibuni?
 
Mwanamke asiyekuvutia kamwe askari hashtuki mpk kwa kiki ya pikipiki..!! (yaani namaanisha alazimishie kuamuamsha..)

Pole kwa hilo tatizo I guess you need counseling. Halaf tafuta mtu anayekuvutia.
 
Back
Top Bottom