Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,012
- 5,452
Badili mtindo wako wa Maisha na Mahusiano.Wasalaam,
Iko ivi mi ni kijana kati ya 30 to 35yrs old,
Nimekua kwenye mahusiano mbali mbali kwa wanawake wasio pungua 13...
Nikijana ambaye bado najitafuta, kuhonga siwezi ila matumizi ya pamoja hayanishindi
Kwasasa ninamahusiano na demu ambaye nnaweza jumuoa akitulia lakini...
Shida inakuja ni usumbufu kutoka kwa ma X zangu, wamekua wakinisumbua saana wakitaka turudiane ama tuwe tunapasha viporo, najaribu kuwa weka wazi kwamba nini mtu lakini bado haisaaidii yaani kila anayegeuka X hua hakubali ku move on...
Sababu kuubwa zinazo nifanya niachane nao ni mkwanja (pesa) maana sina hela yakuwanunulia ata pafyumu hivo huamua kunichanganya na wanaowahonga na kisha nawapiga chini mazima...
Nina huruma saana hasa wakinijia kiupole kuna wakati hua natamani kuwapa wanachotaka lakini nikiwaza kurudia matapishi ni bora nianze upyaaa
Mnisaidie sasa nifanyeje ili waache kunisumbua au ni kitu gani hutokea kwa mwanamke pale anapoamua kurudi kwa X wake baada ya kuhangaika huko bili kujali kama mwanaume ako tayari na mtu mwingine?
#Thamani ya mtu ni utu na si kituπ
D D str hahahahKaaazi kweli kweli
Nafirijika kuona una above 34 years age na hujaoa bado π π πWasalaam,
Iko ivi mi ni kijana kati ya 30 to 35yrs old,
Nimekua kwenye mahusiano mbali mbali kwa wanawake wasio pungua 13...
Nikijana ambaye bado najitafuta, kuhonga siwezi ila matumizi ya pamoja hayanishindi
Kwasasa ninamahusiano na demu ambaye nnaweza jumuoa akitulia lakini...
Shida inakuja ni usumbufu kutoka kwa ma X zangu, wamekua wakinisumbua saana wakitaka turudiane ama tuwe tunapasha viporo, najaribu kuwa weka wazi kwamba nini mtu lakini bado haisaaidii yaani kila anayegeuka X hua hakubali ku move on...
Sababu kuubwa zinazo nifanya niachane nao ni mkwanja (pesa) maana sina hela yakuwanunulia ata pafyumu hivo huamua kunichanganya na wanaowahonga na kisha nawapiga chini mazima...
Nina huruma saana hasa wakinijia kiupole kuna wakati hua natamani kuwapa wanachotaka lakini nikiwaza kurudia matapishi ni bora nianze upyaaa
Mnisaidie sasa nifanyeje ili waache kunisumbua au ni kitu gani hutokea kwa mwanamke pale anapoamua kurudi kwa X wake baada ya kuhangaika huko bili kujali kama mwanaume ako tayari na mtu mwingine?
#Thamani ya mtu ni utu na si kituπ
tumshauri aoe tuu maana umri wake nao sio haba.Nashindwa kukushauri maana sina uzoefu sana na mapenzi nimekua na mahusiano na wanawake 23 tu ndani ya hii miaka miwili na wote nimeachana nao bado natafuta alietulia
Mke kwaa ajili sakramenti....Mademu 13 tu unafungua Uzi?
Hao Mimi Huwa wa Kila mwaka.
Watu tulishapika mwendokadi tatu za mbagala wanaojiuza, Kosta mbili za mkoani wa kutongoza, Noah mbili michepuko ya kudumu na taxi ππ wakufa na kuzikana hata wanapiolewa tunaluendeleza na kuwatua mimba, na mke mmoja Kwa ajiri ya sakramenti na kulea watoto.
Brother nilioa at 24yrs kilichonikuta naenda mwaka wa nne naishi kama sijawahi kuoa, so usifanye haraka mzeeNafirijika kuona una above 34 years age na hujaoa bado π π π
Maana najiona kumbe sijachelewa sana bado kama umri huo kuna wenzangu hawajaoa bado.
Mimi nna 29 years na nishaanza kunyoshewa kidole na ndugu mpaka sasa napata stress hadi sometimes sipokei simu za baafhi ya ndugu πππ
Ila uzi wako kwenye umri umenifariji kidogo .
Nawaoneaga huruma saana ila akinijia ki babe nakiwashaga tuuWaache kwa vitimbwi sio ww kukosa pesa, wapige matukio. Mwanamke anakupenda awaze pesa zako? No way
Nilishaoa ndoa ikazingua ila sijakata tamaatumshauri aoe tuu maana umri wake nao sio haba.
inabidi tutubu mkuu kwa tuliokuwa na wanawake wengi kwa kweli.
Mhh na hao ni ndani ya mwaka mmoja tuuYaan at 30s wanawake 13 wote?