nisha kusoma ww ni cheche tu, coz km unaomba ushauri hapa wat if mtu akakwambia tafuta replacement si dat mins ndio unampotezea huyo mwandani wako, hw long utaendelea kufanya hivyo coz kutokana na maisha yalivyo hakuna kipindi ambacho utakaa karibu forever na umpendae so try to cope wth the environment pls na sahau mapenzi ya njiwa, dis is hw we du