Ninaitaji chumba cha kuishi.. .!

BONINHO

Member
Joined
Nov 11, 2014
Posts
12
Reaction score
2
Nina wasalimu wadau wote mliko humu. Nina tafuta chumba cha kuishi ,maeneo ya ubungo mawasiliano . ninataka single room , kiwe self-contain , dirisha aluminium ,na kiwe ndani ya fence , bae kisiwe juu ya 100,000/=
 
Nina wasalimu wadau wote mliko humu. Nina tafuta chumba cha kuishi ,maeneo ya ubungo mawasiliano . ninataka single room , kiwe self-contain , dirisha aluminium ,na kiwe ndani ya fence , bae kisiwe juu ya 100,000/=
Bae=baby
Au ulimaanisha bei kamanda
 
ungetafuta madalali wa hapo ubungo huoni kama ungepata fasta?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…