Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
daaaah hii safiKuna mdada nilimku-kula siku fulani, yaani simkumbuki nayeye hanikumbuki, maana tulichukuana tu,
idadi sikumbuki ila ni wengi sana.
daaaah hii safiKuna mdada nilimku-kula siku fulani, yaani simkumbuki nayeye hanikumbuki, maana tulichukuana tu,
idadi sikumbuki ila ni wengi sana.
Duniani kuna mambo.......................
Nikiwa nimeanza kubarehe nikiwa mkoa wa tabora na maisha ya shule...nakumbuka sikupata mtu wakunipoza moto niliokuwa nao wa ngono....nikawanateseka....maisha yangu yakawa ni Masturbation daily x3!!Usicheke!!!
Baada yaumri kusogea na wadada kuwa wananikubali nikawa na kijinotbook changu na horodhesha....nikhamia mbeya napenyewe nikaendeleza mpaka nikapata idadi ya mademu 59!!!Mwaka 1992.........Ila baadae mambo ya maisha yakapanda mda wakuandika nikawa sina.....kwasasa hata sijui idadi ya wapenzi niliokwisha kutana nao!!......Je wewe unaweza ukajua idai uliyokwisha kukutana nayo????Mchana mwema....!
Baba_Enock, nipo rafiki yangu.FP umepotelea wapi?
Baba_Enock, nipo rafiki yangu.
Smile hicho kizhungu chako sawa bana.When you will be available?Duhh upo single kweli wewe acha hizo mazeee...Mimi nipo poa mazeeeee...am single but not available eeeeh
Wewe ni mwekezaji duniani???Hivi siku hizi kuna ambaye anathubutu kuwa na wapenzi wengi? Ukifunga macho ukatafakari maisha ya mbeleni kwako huku ukiangalia dependants wengi kwa ndugu zako ambao ni orphans, na wale orphans ambao wengine wameshasahau wazazi wao sura na wanalelewa vituo visivyo na huduma, na wale watoto wa mitaani amboa wengi wao siku hizi ni oprhans ambao wamekimbia maisha ya manyanyaso kwa walezi basi utafunga chupi lako na kofuli au kuzingatia ABC= Abstain, Be faifhtful to one partner, ukikabwa sana use condom!!!!!!! But usiendekeze mazoea na ushamba wa kuwa na mademu au wanaume kibao, ni hasara kwako hata kama huna familia but wakati unatumia ARV ndipo unajilaumu "LAITI NINGELIJUA"
Duu kama ni ushamba wa kutojichanganya/kuwa na idadi kubwa basi mi mshamba jaman....
hebu nibipu mkuu nilipoteza number yako....uliniona nipo na mtu kwani?Smile hicho kizhungu chako sawa bana.When you will be available?Duhh upo single kweli wewe acha hizo mazeee...Mimi nipo poa mazeeeee...
hebu nibipu mkuu nilipoteza number yako....uliniona nipo na mtu kwani?