Nina wasiwasi Samia anawachukia Hawa wahaya ila wao wanampenda ndio maana wanamsema

Nina wasiwasi Samia anawachukia Hawa wahaya ila wao wanampenda ndio maana wanamsema

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,937
Reaction score
10,815
SI wengine Wala sipepeshi macho. Ni Bensoni Bagonza na Proffesa Anna Tibaijuka Nina hakika Dr Samia anawachukia mno kisa wanamshauri ukweli ila hao ni zaidi ya Baraza lake la mawaziri ambao hawana uwezo wa kuusema ukweli

Je Nini kifanyike kuwa na wahaya kama Hawa 100 tulikomboe taifa kutoka MIKONOni mwa waharabu koko? Iddi Mbaraka mwana jf na iddi mfaizina ukiona kimnya jua nipo na Shekhe mkuu aliyewasiliana na wakenya wakamjuza hawafungui Kisha wanafungua hahahahaha!🤣😂😝
 
We tutanie tu ngoja siku father Kitima asogeze mbele tar ya Christmas au pasaka.
 
Back
Top Bottom