denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Kwa namna yule kiumbe alivyo moto, na anavyojua kuupiga mwingi, sioni ni kwa nini asifunge magoli hamsini kwa msimu mmoja huko Ufaransa, labda kwa roho yake nyeupe aamue kuwapa assist kina Neymar na Mbappe ili nao waonekane wako PSG, vinginevyo Messi ana unavu wa kutupia hata zaidi ya goli hamsini pale Ligue 1.