Hicho kiasi utapata eneo kubwa kuanzia maji ya chai mpaka katiti au kuanzia kikwe mpaka Mikungani ,kwa maeneo uliyotaja labda uende Leki tatu (usa ya chini ya reli) huko ndiko utapata kuanzia 35m * 32m kwenda juu .Onana na wenyeviti wa vijiji wakukutanishe na wanaouza wao wanawafahamu ili uepuke kulizwa ndugu .
Ingekuwa unahitaji Moshono jirani na kambi ya jeshi/kwa masista nina viwanja vitatu,kila kimoja 18X23 meters.BEI: 12Milioni cash
Ukichukua zaidi ya kimoja bei inapungua.
Huduma zote za kijamii zipo karibu sana,pamoja na umeme na maji.
Barabara hadi mlangoni
Mawasiliano: 0752489529
Hicho kiasi utapata eneo kubwa kuanzia maji ya chai mpaka katiti au kuanzia kikwe mpaka Mikungani ,kwa maeneo uliyotaja labda uende Leki tatu (usa ya chini ya reli) huko ndiko utapata kuanzia 35m * 32m kwenda juu .Onana na wenyeviti wa vijiji wakukutanishe na wanaouza wao wanawafahamu ili uepuke kulizwa ndugu .