Habari wadau..
Ni kama wiki na kidogo sasa sehemu mbalimbali za mwili ninatokwa na vipele vidogovdogo kama vya jasho lakn vinawasha hali inayopelekea kujikuna hadi naichubua ngozi wkt mwingine.vilianzia mapajani , vikaja kwny magoti, vikarudi ubavuni na mikononi.tatizo litakua ni nini jaman? Nimepanga kesho kwenda hospital Ila ningependa kupata dondoo kdg
Sent using infinix zero4
Ni kama wiki na kidogo sasa sehemu mbalimbali za mwili ninatokwa na vipele vidogovdogo kama vya jasho lakn vinawasha hali inayopelekea kujikuna hadi naichubua ngozi wkt mwingine.vilianzia mapajani , vikaja kwny magoti, vikarudi ubavuni na mikononi.tatizo litakua ni nini jaman? Nimepanga kesho kwenda hospital Ila ningependa kupata dondoo kdg
Sent using infinix zero4