Nina tatizo la mwili kuwasha

pyopy

Senior Member
Feb 16, 2018
185
390
Habari wadau..
Ni kama wiki na kidogo sasa sehemu mbalimbali za mwili ninatokwa na vipele vidogovdogo kama vya jasho lakn vinawasha hali inayopelekea kujikuna hadi naichubua ngozi wkt mwingine.vilianzia mapajani , vikaja kwny magoti, vikarudi ubavuni na mikononi.tatizo litakua ni nini jaman? Nimepanga kesho kwenda hospital Ila ningependa kupata dondoo kdg

Sent using infinix zero4
 
Ulishapata majibu?
Habari wadau..
Ni kama wiki na kidogo sasa sehemu mbalimbali za mwili ninatokwa na vipele vidogovdogo kama vya jasho lakn vinawasha hali inayopelekea kujikuna hadi naichubua ngozi wkt mwingine.vilianzia mapajani , vikaja kwny magoti, vikarudi ubavuni na mikononi.tatizo litakua ni nini jaman? Nimepanga kesho kwenda hospital Ila ningependa kupata dondoo kdg

Sent using infinix zero4
 
Back
Top Bottom