Nina tatizo la kibamia

...kibamia inategemeana
Na dem unayekutana naye
Inawezekana unakutana na madem
Wana mapango(K)kubwa..unaeza ukawa na inch7 au Zaid lkn ukakutana na pango
Ukaonekana kibamia vilevile..
 
Amina nipo nae hapa mtamu kweli yani
 
Daa dunia hii Ina vituko mingi aki! Shida Yako ni watoto au...
 
Daa dunia hii Ina vituko mingi aki! Shida Yako ni watoto au...
 
Ni kweli inakata sana inamfanya mtu anakuwa mnyonge lakini kila kitu nikujiamini sometimes maumbile makubwa nayo kuna baadhi wa wanawake yanawatesa mfano me kuna watu nikifanya nao mapenzi wanalalamika sijui nagusa vitu gani najiskia vibaya lakini ndo hivyo fresh nafurahi maisha yanenda shukuru wewe ni rijali inasimama then Enjoy broh
 
We Kahindi95 👉chukua unga wa pilipili mtama mweupe,
👉 kibinti upele
👉 pilipili baridi
👉asali mbichi ya nyuki wadogo

Changanya hivyo vitu vya unga kwa usawa, na asali angalau nusu lita.
Kisha utakuwa unauosha uume wako kwa maji ya uvuguvugu kwa dk10 Hadi 15.

Baada ya uume kusimama, utakuwa unauchua kwenda mbele, narudia kwenda mbele, utumie dawa hizo wakati unajichua.

Hakikisha kabla haujaanza tiba hii uwe umeupima uume wako, ili ujue Kama unakua au bado. Angalau mwezi 1

Ikishindikana nambie nikupe tiba nyingine Kahindi95
 
Huo uume sio mdogo mkuu ni wa kawaida sana
 


Tafuta wa size yako utampata

Ukiendelea kununua wanaouza kitazidi kuwa kidogo na kupwaya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…