berysam99
Member
- Jan 4, 2022
- 13
- 4
Jamani msaada nina shida ya ngozi, ni miguu tu. Nimeshatembea hospital nyingi kama KCMC kwa maspecialist lakini wapi, dawa za kienyeji wapi
Msaada japo nikikalibia period ni shida zaid, ni vipele vinatoa usahaa na kuniacha kama hivo sasa hivi situmii mafuta yoyote zaid ya dawa ya hospital na ni baada ya kuambiwa kuwa nisitumie mafuta aina yoyote Ile
Msaada jamani, mimi ni mwanamke
Msaada japo nikikalibia period ni shida zaid, ni vipele vinatoa usahaa na kuniacha kama hivo sasa hivi situmii mafuta yoyote zaid ya dawa ya hospital na ni baada ya kuambiwa kuwa nisitumie mafuta aina yoyote Ile
Msaada jamani, mimi ni mwanamke