Nina shida hii kwenye ngozi

Nina shida hii kwenye ngozi

berysam99

Member
Joined
Jan 4, 2022
Posts
13
Reaction score
4
Jamani msaada nina shida ya ngozi, ni miguu tu. Nimeshatembea hospital nyingi kama KCMC kwa maspecialist lakini wapi, dawa za kienyeji wapi

Msaada japo nikikalibia period ni shida zaid, ni vipele vinatoa usahaa na kuniacha kama hivo sasa hivi situmii mafuta yoyote zaid ya dawa ya hospital na ni baada ya kuambiwa kuwa nisitumie mafuta aina yoyote Ile

Msaada jamani, mimi ni mwanamke

img_tmp_tag1653420893275.jpg
img_tmp_tag1653420893275.jpg
 
Jamani msaada nina shida ya ngozi, ni miguu tu. Nimeshatembea hospital nyingi kama KCMC kwa maspecialist lakini wapi, dawa za kienyeji wapi

Msaada japo nikikalibia period ni shida zaid, ni vipele vinatoa usahaa na kuniacha kama hivo sasa hivi situmii mafuta yoyote zaid ya dawa ya hospital na ni baada ya kuambiwa kuwa nisitumie mafuta aina yoyote Ile

Msaada jamani, mimi ni mwanamke

View attachment 2267470View attachment 2267471
Mungu akuponye hilo tatizo .
 
Pole sana sister. Je umeshajaribu kuuosha na maji ya chumvi ya mawe? Kama bado hebu fanya hivyo.

Chemsha maji yawe katika hali ya joto lakini sio la kuunguza then yaweke chumvi ya mawe kiasi ukiyaonja unaisikia radha yake, chukua kitambaa fanya unaosha kama unauchua vile. Unaweza kufanya asbh na jioni au jioni tu wakati wa kwenda kulala. Fanya hivyo kwa muda fulani na Mungu atafanya wepesi.

NB: chumvi ni dawa moja nzuri sana
 
Nafikiri unaweza kuwa na hili tatizo: Progestogen hypersensitivity
Unahitaji ushauri wa daktari zaidi ambaye anahusika na matatizo ya ngozi. Usipende kutumia midawa ya kienyeji inaweza kuja kukuletea matatizo makubwa zaidi. .
 
Pole sana sister. Je umeshajaribu kuuosha na maji ya chumvi ya mawe? Kama bado hebu fanya hivyo.

Chemsha maji yawe katika hali ya joto lakini sio la kuunguza then yaweke chumvi ya mawe kiasi ukiyaonja unaisikia radha yake, chukua kitambaa fanya unaosha kama unauchua vile. Unaweza kufanya asbh na jioni au jioni tu wakati wa kwenda kulala. Fanya hivyo kwa muda fulani na Mungu atafanya wepesi.

NB: chumvi ni dawa moja nzuri sana
Chumvi ni dawa nzuri sana ila kama ana rushes atasikia maumivu ambayo hajawahi sikia toka azaliwe.
 
Jamani msaada nina shida ya ngozi, ni miguu tu. Nimeshatembea hospital nyingi kama KCMC kwa maspecialist lakini wapi, dawa za kienyeji wapi

Msaada japo nikikalibia period ni shida zaid, ni vipele vinatoa usahaa na kuniacha kama hivo sasa hivi situmii mafuta yoyote zaid ya dawa ya hospital na ni baada ya kuambiwa kuwa nisitumie mafuta aina yoyote Ile

Msaada jamani, mimi ni mwanamke

View attachment 2267470View attachment 2267471

Mtoa mada, zingatia post namba 7.
Pole kwa kuumwa.
 
Nafikiri unaweza kuwa na hili tatizo: Progestogen hypersensitivity
Unahitaji ushauri wa daktari zaidi ambaye anahusika na matatizo ya ngozi. Usipende kutumia midawa ya kienyeji inaweza kuja kukuletea matatizo makubwa zaidi. .
Asante snaa kwa ushauri dear
 
Pole sana sister. Je umeshajaribu kuuosha na maji ya chumvi ya mawe? Kama bado hebu fanya hivyo.

Chemsha maji yawe katika hali ya joto lakini sio la kuunguza then yaweke chumvi ya mawe kiasi ukiyaonja unaisikia radha yake, chukua kitambaa fanya unaosha kama unauchua vile. Unaweza kufanya asbh na jioni au jioni tu wakati wa kwenda kulala. Fanya hivyo kwa muda fulani na Mungu atafanya wepesi.

NB: chumvi ni dawa moja nzuri sana
Asante sn
 
Back
Top Bottom