bertha3
Member
- May 29, 2021
- 16
- 18
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 23, ninaishi Mwanza. Nina shahada ya kwanza ya usimamizi wa fedha( bachelor of commerce in finance).
Natafuta kazi kulingana na profession yangu either kwenye kampuni au Benki au sehemu yoyote nayoweza kufanya kazi.
Kwa Sasa nasoma CPA( certified public accountant) kwa level ya intermediate.Nina ujuzi wa kutumia computer vizuri( Ms word,excel, internet etc).
Kwa Sasa nipo Mwanza.Asanteni na nawatakia siku njema.
Natafuta kazi kulingana na profession yangu either kwenye kampuni au Benki au sehemu yoyote nayoweza kufanya kazi.
Kwa Sasa nasoma CPA( certified public accountant) kwa level ya intermediate.Nina ujuzi wa kutumia computer vizuri( Ms word,excel, internet etc).
Kwa Sasa nipo Mwanza.Asanteni na nawatakia siku njema.