uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,221
- 9,225
Ndio unamuuliza shida yake akisema unasema hakuna mke afu mbona hiyo idadi ndogo sana 2 au 3 kwa umri huo ulipaswa kupokea angalau 5It won't work, maana wanatoka mbali wengine, so hata akiona kibao wakati kishafika atagonga mlango tu