Nina machache, Niambie lipi lililokufaa?

STUNTER

JF-Expert Member
Dec 15, 2015
13,076
17,246
1-Msichana mwenye ndoto za kuolewa na mtu
mwenye mafanikio wakati yeye anamiliki lipstiki
& wanja tu anahitaji maombi
2-
Bora kupendwa na mtu mwenye tabia za
kimalaya, ukimfumania unamtema kama ugoro
wa bibi...kuliko kupendwa na mtu mwenye roho
mbaya, ukimwambia umelazwa ICU anakujibu SAWA
3-
Big up wale wasichana wanaowazungusha
wanaume pale wanapowatongoza .
Ila poleni kwani siku mkiingia line na kitambi
hakichelewi....
4-
Hupaswi kuhuzunika kwa jambo au kitu ambacho
hukuja nacho duniani iwe ni shida utajiri ipo siku
utaondoka na utaviacha...
5-
Mwanamke haulizwi umri.
Mwanaume haulizwi unafanya kazi gani...
6-
Kama akili yako imezidi utimamu na unataka
kuupunguza, jaribu kumpenda mtu asiejipenda
mwenyewe Kama hajajitambua bila shaka atakusumbua tu. Watoto waachie watoto
wenzao. Cheza na size yako
7-
Ukitumia akili na nguvu nyingi kutafuta
wasichana pesa itakukimbia...ila ukitumia akili na
nguvu nyingi kutafuta pesa wasichana
watakukimbilia...
 
Back
Top Bottom