Nina Ll.B, natafuta internship

Nina Ll.B, natafuta internship

Ndengaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2014
Posts
8,694
Reaction score
16,320
kutoka chuo cha mzumbe,,natafuta sehemu yakujitolea ili kupata ujuzi zaidi kama unahisika tafadhali ni pm.
 
kutoka chuo cha mzumbe,,natafuta sehemu yakujitolea ili kupata ujuzi zaidi kama unahisika tafadhali ni pm.
Jaribu kuapply LAW SCHOOL OF TANZANIA 2007[ 1] established under THE LAW SCHOOL ACT[2],Ambapo ukifaulu mitihani na kuwa Advocate [3] baada ya kuapishwa na jajimkuu wa Tanzania ( chief justice)[4],
 
G.P.A ngapi? kama una upper second nitafute!
 
Ll.B ni nini? Andika mambo yanayoeleweka kijana. Onyesha kuwa wewe kweli una Legum Baccalaureus (LL.B). Nani atamchukua mtu ambaye hajui hata pa kuweka herufi kubwa kwenye uandishi?
 
Ll.B ni nini? Andika mambo yanayoeleweka kijana. Onyesha kuwa wewe kweli una Legum Baccalaureus (LL.B). Nani atamchukua mtu ambaye hajui hata pa kuweka herufi kubwa kwenye uandishi?

hata kama sijui nikiingia google ntacopy nakupaste hapa!
 
Jaribu kuapply LAW SCHOOL OF TANZANIA 2007[ 1] established under THE LAW SCHOOL ACT[2],Ambapo ukifaulu mitihani na kuwa Advocate [3] baada ya kuapishwa na jajimkuu wa Tanzania ( chief justice)[4],
school of law its expensive.. pengine ni moja ya sababu ya kutafuta kazi kwanza na pi hofu ya kushindwa kwakuwa sheria ni practise.. sio mbaya kama akipata ujuzi wa procedure zinavyokwenda then akijipanga aendelee sababu ni kweli s.o.l ni muhimu na ni lazima.
msaidieni panapowezekana lakini.
Mungu awabariki.
 
sheria nalo tatizo kupata ajira? ule mpango wa kuwapeleka mahakama za mwanzo umeishia wapi?
 
ll.b ni nini? Andika mambo yanayoeleweka kijana. Onyesha kuwa wewe kweli una legum baccalaureus (ll.b). Nani atamchukua mtu ambaye hajui hata pa kuweka herufi kubwa kwenye uandishi?

petro acha mashauzi yako..uliclear kile kimeo chako cha lawschool?
 
Kijana jiunge na chama cha siasa kama Law School ni gharama.. Lawyers hatutafuti kazi ktk mitandao ya kijamii. All the best.
 
petro acha mashauzi yako..uliclear kile kimeo chako cha lawschool?

Du! Sema unataka kuonyesha umma kuwa unanifahamu tu. Nilishakuwa Wakili Mkuu Mbofu. Mwenzangu hukuwa na kimeo? Lakini,swali lako ni la kitoto sana
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom