miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,414
- 10,970
Habarini wanajamvi,
Ni imani yangu nyote humu mu wazima wa Afya.
Kama ambavyo title inasema hapo juu. Maybe some of you might connect dots, please kindly do not reveal my ID.
Enzi hizo nilisoma primary shule moja ya masista, boarding. Sisi ndiyo tulikua 1st grade seven graduates.
Hakika ni shule nzuri na bora kwa malezi na watoto.
Basi alikuwepo sista mmoja anaitwa sista Mary. Huyu alikua sista mchapakazi sana. Alikua giant pia na mwenye afya nzuri kabisa. At first alikua headmistress ila later alishushwa kutokana na level ya elimu yake na mambo ya kiutawala.
Na pia alikuwepo sista Shayo, huyu ni mzee alikuwa. Ila alikua ndo Director wa shirika sometimes na akaja kuwa headmistress.
Unfortunately Sister Mary alitokea tu kutonipenda for no good reason. Maybe huwa wanasema damu hazijaendana sometimes yaani she hated me na ukoo wangu wote. Sijui shida ni nini aisee.
Whatever good I would have done angeni-crash. On the other side, Sista Shayo alikua ananipenda kweli. Nakumbuka pocket money alikua akiziweka kwenye ndoo na hela zingine.
Yaan mfano ndoo hii ni elfu 10 tupu noti, noti za elfu 5 yake etc. Alikua akinipa kazi ya kufanya usafi room kwake. Yaani hata sarafu ya shilingi 50 siigusi.
Sometimes walikua wanatutega hata ofisi zao wanadondosha hela. Mimi naiokota namwekea vizuri tu nakuja mwambia nilikuta shilingi 100 hiyo hapo chini. So I built my trust that way.
Niseme tu kule tulilelewa maisha fulani ambayo huwezi sema mtoto wangu hawezi fanya shughuli mbalimbali za nyumbani. Si kwa boys wala girls.
Na nilikua napenda kweli kazi. So kwenye uvivu sikuwepo kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni imani yangu nyote humu mu wazima wa Afya.
Kama ambavyo title inasema hapo juu. Maybe some of you might connect dots, please kindly do not reveal my ID.
Enzi hizo nilisoma primary shule moja ya masista, boarding. Sisi ndiyo tulikua 1st grade seven graduates.
Hakika ni shule nzuri na bora kwa malezi na watoto.
Basi alikuwepo sista mmoja anaitwa sista Mary. Huyu alikua sista mchapakazi sana. Alikua giant pia na mwenye afya nzuri kabisa. At first alikua headmistress ila later alishushwa kutokana na level ya elimu yake na mambo ya kiutawala.
Na pia alikuwepo sista Shayo, huyu ni mzee alikuwa. Ila alikua ndo Director wa shirika sometimes na akaja kuwa headmistress.
Unfortunately Sister Mary alitokea tu kutonipenda for no good reason. Maybe huwa wanasema damu hazijaendana sometimes yaani she hated me na ukoo wangu wote. Sijui shida ni nini aisee.
Whatever good I would have done angeni-crash. On the other side, Sista Shayo alikua ananipenda kweli. Nakumbuka pocket money alikua akiziweka kwenye ndoo na hela zingine.
Yaan mfano ndoo hii ni elfu 10 tupu noti, noti za elfu 5 yake etc. Alikua akinipa kazi ya kufanya usafi room kwake. Yaani hata sarafu ya shilingi 50 siigusi.
Sometimes walikua wanatutega hata ofisi zao wanadondosha hela. Mimi naiokota namwekea vizuri tu nakuja mwambia nilikuta shilingi 100 hiyo hapo chini. So I built my trust that way.
Niseme tu kule tulilelewa maisha fulani ambayo huwezi sema mtoto wangu hawezi fanya shughuli mbalimbali za nyumbani. Si kwa boys wala girls.
Na nilikua napenda kweli kazi. So kwenye uvivu sikuwepo kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app