Habari wana jamvii!kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.nimekua mhanga wa tatizo ilo kwa muda sasa na bado sijaonana na daktari kwa ushauri zaidi.dushe Langu likikasilika linakua la wastani kinacho nitisha zaidi kokwa moja imeshuka halafu imepita mistari mistari Kama nyungunyungu. wasalam! naitaji mawazo yenu na ushauri pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app