Nina kibamia nahitaji Msaada wenu

man well

JF-Expert Member
Jul 7, 2017
270
179
Habari wana jamvii!kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.nimekua mhanga wa tatizo ilo kwa muda sasa na bado sijaonana na daktari kwa ushauri zaidi.dushe Langu likikasilika linakua la wastani kinacho nitisha zaidi kokwa moja imeshuka halafu imepita mistari mistari Kama nyungunyungu. wasalam! naitaji mawazo yenu na ushauri pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama inaanzia 4inches
Cjui unachilalamika n nn

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Habari wana jamvii!kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.nimekua mhanga wa tatizo ilo kwa muda sasa na bado sijaonana na daktari kwa ushauri zaidi.dushe Langu likikasilika linakua la wastani kinacho nitisha zaidi kokwa moja imeshuka halafu imepita mistari mistari Kama nyungunyungu. wasalam! naitaji mawazo yenu na ushauri pia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Usijali hiyo ni ishara ya utajiri,unanyemelewa na utajiri uwe mtulivu mkuu
 
We unajishtukia tu hauna kibamia wala nn jaribu kujitizama kwenye kioo ukiwa uchii utaona una dude la maana kioo hakidangany
Asilimia kubwa ya wanaume wanajiisi wana vibamia kulingana na tafiti
We kwani kuna MTU aliwahi kukuambia una kibamia?
Ridhika na hali yako bro,matokeo take mnakula madawa mnakua sio risk tena
 
Nilitaka nisisome kwa kua mi si daktar ila sasa nimesoma nimechekamo kama nungunungu
 
Back
Top Bottom