Ni inbox, details zako kwa ufupi.Wapendwa najua hali ni mbaya kwa kila mtu, mimi ni mdada natafuta kazi ya ICT nina Diploma nimesoma pale UCC. Kwakweli swala la mshahara linazungumzika ila muhimu nipate kazi hali ni mbaya
Natanguliza shukran
Humu utaombwa mno jichanganyeJaribu kuwa mstaarab huna msaada pita kimwendo kasi